Mike Tyson vs David Tua

Rockcity native

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2012
Posts
2,174
Reaction score
1,445
Wataalam wa masumbwi wanasema hili pambano kama lingefanyika basi lingekua pambano bora la karne.

Mwenye kujua kwanini pambano hili halikufanikiwa kupangwa atujuze.
 
Wana habara wa enzi hizo walim'over rate' mno Tyson kuliko uwezo wake halisi na ndio maana alipoteza kirahisi mapambano yake na Evander pamoja na Lewis Lennox.Upo uwezekano pia angedundwa na David Tua
 
Wana habara wa enzi hizo walim'over rate' mno Tyson kuliko uwezo wake halisi na ndio maana alipoteza kirahisi mapambano yake na Evander pamoja na Lewis Lennox.Upo uwezekano pia angedundwa na David Tua
hakika David Tua alikua vizuri sana hasa ile left hook yake
 
Wana habara wa enzi hizo walim'over rate' mno Tyson kuliko uwezo wake halisi na ndio maana alipoteza kirahisi mapambano yake na Evander pamoja na Lewis Lennox.Upo uwezekano pia angedundwa na David Tua

sio kumu over rate ,the man was in deed the baddest man on planet ,amewahi kuwakaliza watu kwa sekunde kwa mfano alimpiga jamaa fulani kwa sek 91 pambano likaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…