Kugumu sn leo, ngoja tutafakari namna ya kutoka.Leo kuna
Epl
Laliga
Bundesliga
Ligue 1
Eredivisie
Serie A
Na nyingine nyingiiiii, je tunabetije leo wakuu?
Share hapa
Yaani nimechapika live leo...nadhani ni siku yake ya kurudisha helaMechi za jumatatu za kutafuta shida sana.
Live score inaonesha mpira unaendelea.
1xbet wanakwambia mpira umeisha dakika ya 45.😂😂😂
Pole sana.ndo maisha ya kamari yalivyoYaani nimechapika live leo...nadhani ni siku yake ya kurudisha hela
Hii imetoaUR49Y 1xbet od
Unatumia wakala gani?Hii imetoa
Baripesa ndio wapi hao?Wakuu Kuna mtu anaweka matangazo ya kampuni ya kubet inaitwa baripesa mbona nmetapeliwa live nimeweka Hela voda wanasema imeenda lkn kwenye account hakna hata mia .[emoji25] Voda wanauliza me nimewajulia wapi ? Nikashindwa nijibu nn
MhodeUnatumia wakala gani?