Mikeka ya Uhakika

Ibra Zuberi

Member
Joined
Dec 17, 2018
Posts
37
Reaction score
38
*Kwa wale wazee wa kubeti*
Mikeka mitatu ya leo iko tayari la kufanya ni wewe kunitumia msg *Inbox* na mimi nakutumia mikeka *Bureeeeee*[emoji395][emoji395][emoji395][emoji395][emoji395]
 
Hiyo mikeka ya kwenda inbox na kupewa bure Nina mashaka nayo, kwa nini usiweeke hapa....Something hakipo sawa
 
Ukizingua je?
Hakikisha unabet Mikeka yote mitatu Kwa kuipa stake inayofanana Kwa yote.

Mikeka yote ipo na uwezekano mkubwa wa kushinda kwahiyo yote ipo balanced.

Nakutakia mafanikio mema na tuzidi kuomba mambo yaende vizuri tutengeneze pesa nzuri.

Njoo inbox, leo ni Bureeeee
 
nitumie hiyo mikeka
 
Tuna timu ya wabashiri na wachambuzi makini wa mpira wanaoifanya hii kama Kazi na wanalipwa.

Betting ukiichukulia serious inalipa ila sio kwa huu utani tunaoufanya wa kuweka buku ule milioni.

Hapa cha kufanya wewe endelea na mitikasi yako ya kila siku lkn muda wa kuweka mzigo ukifika njoo inbox tukupe mikeka na TUNAJARIBU WOTE.

Tunaandaa mikeka ya uhakika lkn tunajua kabisa huu ni ubashiri kwa hiyo hatutoi 100% guarantee?

Karibuni sana. Mikeka ya leo ni Bureeeeeeee
 
Malengo ya kutoa mikeka 3 kwa siku ni kwamba:

1. Kila mkeka unakuwa na odd zisizopungua 4 ..

2. Kwa hiyo ukila mkeka mmoja hata kama mingine miwili imechanika tayari wewe huna hasara.

Kwa hiyo hakikisha unaipa stake inayolingana ili kupata matokeo hayo.

Acha kubeti kwa mazoea, chukua odd za uhakika kutoka kwetu tunaofanya uchambuzi huu kama kazi na Mikeka ya leo ni BUREEEEEEEE

Njoo inbox
 
Kwa maswala ya kubet usidanganye mtu, hakuna anayekuwa na uhakika wa kuwinn
 

Dah sasa kwa Mikeka hii inatakiwa kila mkeka uweke elf kumi ndio kidogo unaweza kupata pesa
 
*Kwa wale wazee wa kubeti*
Mikeka mitatu ya leo iko tayari la kufanya ni wewe kunitumia msg *Inbox* na mimi nakutumia mikeka *Bureeeeee*[emoji395][emoji395][emoji395][emoji395][emoji395]
Hakuna mikeka ya uhakika
Acha kudanganywa watu
 
*Kwa wale wazee wa kubeti*
Mikeka mitatu ya leo iko tayari la kufanya ni wewe kunitumia msg *Inbox* na mimi nakutumia mikeka *Bureeeeee*[emoji395][emoji395][emoji395][emoji395][emoji395]
Weka tuu hap hap tu
 
In Inbox tena a muwekee hapa au hap muhind yup akizion anabadilisha eee
 
Leo ni bure kesho je

Umewaweza wazee wa vitonga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…