Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Hii inaitwa nyundo kwa nyundo au chuma kwa chuma yani cheche mwanzo mwisho.
Na kiukweli katika mapambano ambayo nilikuwa ninatamani kuona yakitokea hili moja wapo , na nina tamani sana mmoja kati yao aje apambane na Thurman au Gervonta Davis hakika itapendeza sana.
Mpaka sasa Mikey Garcia amepambana mapambano 39 na ameshinda yote 39 na 30 kati ya hayo mapambano ameshinda kwa Knockout ,na mapambano tisa ameshinda kwa Uninamous Decisions katika uzito wa aina tano tofauti tofauti
kuanzia featherweight, Super featherweight, lightweight ,light welterweight na welteweight.
Na kikubwa ninachomkubali Mikey Garcia hamuogopi bondia yeyote yule ,yupo radhi kupambana na kila bondia ili kuzidi kuonesha ubora wake.
Kwa upande wa Error Spence ambaye amezaliwa 1990 na amepishana miaka mitatu na Mikey Garcia, amepambana mapambano 24 ameshinda yote na 21 ameshinda kwa K.O likiwemo lile pambano dhidi ya Kell Brook.
Je kati ya hawa wawili nani ataendeleza rekodi yake ya Unbeaten???????View attachment 946786
Na kiukweli katika mapambano ambayo nilikuwa ninatamani kuona yakitokea hili moja wapo , na nina tamani sana mmoja kati yao aje apambane na Thurman au Gervonta Davis hakika itapendeza sana.
Mpaka sasa Mikey Garcia amepambana mapambano 39 na ameshinda yote 39 na 30 kati ya hayo mapambano ameshinda kwa Knockout ,na mapambano tisa ameshinda kwa Uninamous Decisions katika uzito wa aina tano tofauti tofauti
kuanzia featherweight, Super featherweight, lightweight ,light welterweight na welteweight.
Na kikubwa ninachomkubali Mikey Garcia hamuogopi bondia yeyote yule ,yupo radhi kupambana na kila bondia ili kuzidi kuonesha ubora wake.
Kwa upande wa Error Spence ambaye amezaliwa 1990 na amepishana miaka mitatu na Mikey Garcia, amepambana mapambano 24 ameshinda yote na 21 ameshinda kwa K.O likiwemo lile pambano dhidi ya Kell Brook.
Je kati ya hawa wawili nani ataendeleza rekodi yake ya Unbeaten???????View attachment 946786