Mikoa 20 yathibitisha kuhudhuria kesi ya Mbowe Kisutu Agosti 5, 2021

Hata kukimbilia hapa kuweka comment yako Ni wazi Mbowe Ni Special
Atakula miaka 10, halafu nendeni ubalozini mkashtaki wasitoe misaada hahaha! Dhambi ya kumsaliti Slaa haitowaacha
 
Hapana, kwenye mstari wako huo wa mwisho.

Sema huwajui vizuri waTanzania kama ulikuwa unategemea hayo ya nchi zingine.

Sasa subiri uone wao wanavyofanya mambo yao tofauti na hao wengine.
 
Nadhani Chadema wasimwangushe Mbowe wasubiri mpaka watanzania wote tuchanjwe kama Freemani anavyotaka yeye na mama, na mpaka Askofu Gwajima na wenzake pia wachanjwe ndiyo mtaruhusiwa kukusanyika mahakamani muwe wavumilivu tu. Kumpiga mboe ni jambo baya sana nikama kutafuta laana.
 
Itapendeza
 
CCM ni watu wa kujiaibisha aibisha kila kukicha kwa mataifa - eti GAIDI....hivi hawa jamaa wana hamu ya magaidi eee...!!
 
Mnyika ana mambo ya kizamani sana
Mafuriko hayaachii mtuhumiwa
Hao ndio chadema waliopiga kelele corona ipo,leo KM anahimiza watu wakajazane mahakamani
Kama Chatu akimkamata Baba au mama yako, mtaacha kwenda kumwokoa kwa sababu mkienda mtakaribiana na kuambukizana corona.

Serikali hii na CCM kwa ujumla, madhara yake kwa wananchi ni zaidi ya madhara yanayosababishwa na corona.

Tuungane tumkabili chatu mla watu na mtesa watu.
 
Hamna lolote, hakuna watu wanafiki kama wateja wa hiyo saccos ya Mbowe.
 
naisubiri kwa hamu barua ya zuio la mikusanyiko kutoka Jeshi la Polisi,PATAMU HAPO.
 
Tatizo ni hilo tu.

Wakati wa Magufuli CHADEMA hao hao walitaka Lockdown.

Sasa hivi wanalilia kukusanyika.

Foolish.
Hivi hata kama tungekuwa na Rais wakijinga kama wew, je ungeweza kuweka lockdown nchi kama Tz?
 
Atakula miaka 10, halafu nendeni ubalozini mkashtaki wasitoe misaada hahaha! Dhambi ya kumsaliti Slaa haitowaacha
Ccm bhana, unaweza kuta wanakulipa kwa comments zako kama hizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi nawashuri msiache kuvaa barakoa na kukaa umbali wa mita moja au zaidi. Maji tiririka ni muhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…