Mikoa hii kiutumishi ina utata

Mikoa hii kiutumishi ina utata

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
5,950
Reaction score
11,295
Tanzania yetu80%Watu huishi vijijini,Watumishi hasa waalimu wanapopangiwa mfano Lindi,Mtwara,Kigoma,Rukwa,Shinyanga,Mara,Ruvuma,Singida na maeneo mengi ambayo sijataja,Unadhani kwanini watu wapo tayari kuacha kazi na sometimes hata wenyeji wa huko hawapata
 
Back
Top Bottom