Manny de Bwoy
Senior Member
- Aug 1, 2017
- 124
- 125
Mambo vp wadau wa JF naomba kushare nanyi List ya mikoa 10 ya Tanzania bara inayoongoza Kwa wakazi wake Kujua Kusoma na Kuandika (Literacy Rate) na Mikoa 10 ya Mwisho katika kipengele hicho.
Mikoa 10 inayoongoza kwa Asilimia kubwa ya wakazi kujua kusoma na kuandika (Mwaka 2022)
1. Dar es Salaam - 97.5%
2. Kilimanjaro - 94.2%
3. Njombe - 90.0%
4. Iringa - 89.5%
5. Mbeya - 87.9%
6. Ruvuma - 86.6%
7. Pwani - 86.4%
8. Mara - 85.9%
9. Mwanza - 85.6%
10. Arusha - 84.8%
Mikoa yenye Literacy Rate kubwa (80% and above) iliyo nje ya Top 10
11. Tanga - 83.0%
12. Morogoro - 82.1%
13. Songwe - 81%
14. Kagera - 80.1%
Mikoa yenye idadi ndogo ya wakazi wake wanaojua kusoma na kuandika ni:
1. Tabora - 68.0%
2. Katavi - 70.4%
3. Rukwa - 74.1%
4. Simiyu - 75.0%
5. Dodoma - 76.3%
6. Kigoma - 76.7%
7. Geita - 77.0%
8. Shinyanga - 77.3%
9. Lindi - 77.6%
10. Mtwara - 78.0%
NB: Wastani wa Wanaojua kusoma na kuandika Kwa Tanzania Bara ni 82.8%, Wanaume - 86.6% na Wanawake - 79.2%
Source: PHC- Sensa ya Watu na Makazi 2022 by National Bureau of Statistics (NBS)
Pia, soma: Bungeni: Tanzania imefikia kiwango cha 83% cha kujua Kusoma na Kuandika miongoni mwa Watu wazima
Mikoa 10 inayoongoza kwa Asilimia kubwa ya wakazi kujua kusoma na kuandika (Mwaka 2022)
1. Dar es Salaam - 97.5%
2. Kilimanjaro - 94.2%
3. Njombe - 90.0%
4. Iringa - 89.5%
5. Mbeya - 87.9%
6. Ruvuma - 86.6%
7. Pwani - 86.4%
8. Mara - 85.9%
9. Mwanza - 85.6%
10. Arusha - 84.8%
Mikoa yenye Literacy Rate kubwa (80% and above) iliyo nje ya Top 10
11. Tanga - 83.0%
12. Morogoro - 82.1%
13. Songwe - 81%
14. Kagera - 80.1%
Mikoa yenye idadi ndogo ya wakazi wake wanaojua kusoma na kuandika ni:
1. Tabora - 68.0%
2. Katavi - 70.4%
3. Rukwa - 74.1%
4. Simiyu - 75.0%
5. Dodoma - 76.3%
6. Kigoma - 76.7%
7. Geita - 77.0%
8. Shinyanga - 77.3%
9. Lindi - 77.6%
10. Mtwara - 78.0%
NB: Wastani wa Wanaojua kusoma na kuandika Kwa Tanzania Bara ni 82.8%, Wanaume - 86.6% na Wanawake - 79.2%
Pia, soma: Bungeni: Tanzania imefikia kiwango cha 83% cha kujua Kusoma na Kuandika miongoni mwa Watu wazima