Mikoa yenye maambukizi makubwa corona iwekewe quarantine na vizuizi vya upimaji

Mikoa yenye maambukizi makubwa corona iwekewe quarantine na vizuizi vya upimaji

Mpucha

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2012
Posts
1,232
Reaction score
1,592
Naishauri serikali, kuwepo na gates kwa ajili ya kupima wasafiri waingiao na watokao katika mikoa hiyo. Mfano Dar, gate za upimaji abiria wote ziwekwe kwenye njia zote za mabasi yaingiayo na kutoka Dar, hali kadhalika kwa mikoa yote, hii itasaidia kufanya mass testing na kuzuia uenezi kwenye mikoa mingine.
 
Back
Top Bottom