Mikogo ya Hemed Kivuyo wa ITV!

Hafai, anaonyesha wazi anapenda simba kitu ambacho hakitakiwi kwa mtangazaji
 
Nikisikiaga tu huo ujinga wake nabadiligi channel. Huwa ananikera sana kuongea ujinga kwenye habari siriaz.
Ivi anategemea kutangaza vile bbc?
 
kivuyo yupo juu, ingawa kunasiku ilishuka thread moja humu ilimnanga vibaya sana......big up kivuyo...hao yana ni namba one wetu
 
yuko juu kama Ndege ya Obama .Najua watoto wa mafuriko ya jangwani yani yanga lazima wamind
 
hivi festus makerubi wa tbc bado yupo?kitambo sana sijamuona.
 
Anapotaja neno Awali,bado ana ladha ya pekee yake mwacheni atie kogo katika kazi,wewe kwenye kazi yako vipi huweki kogo??

Msubiri kesho saa mbili usiku atavouelezea mchezo wa nani mtani jembe labda akae massari

Bravo Hemed

Mi muuza samaki naweka mkogo gani ss kama sio kunitukana
 
Awe mbunifu, sio lazima aongee yale yale kila siku. Lazima utamsikia: "Timu hiyo kutoka mtaa wa yule mnyama mrefu na mpole..." au "Timu hiyo kutoka mtaa wenye pilikapilika jijini..."
Sasa kama hizo timu siku zote ndio zinakaa mitaa hiyohiyo, akibadilisha akaongea vingine si atakua anadanganya???
 
me kiufupi nampenda sanaaaaa, ingawa jana akuonesha unyanga wake akatuponda sana bado namkubali sanaaaaa
 
Nikiripoti toka Musoma Maraaaa mimi ni Geogre Maratoooooo wa ITViiiiiiiiiii....!
 
Kivuyo ni mtangazaji mzuri sana.
 
Kuna wale wenye majina marefu utadhani treni. Aka kibao utadhani yataandikwa yote kwenye vyeti

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…