Mikono yangu inaota sugu, nitumie mafuta gani ili iwe laini?

Mikono yangu inaota sugu, nitumie mafuta gani ili iwe laini?

ANDERSON YM

Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
76
Reaction score
32
Waungwana mikono yangu imekuwa ikiota sugu na kuwa migumu yaani imekomaa siyo kawaida wakati nafanya kazi za kawaida tu ambazo haziwezi kupelekea mikono yangu kuwa hivi.

Naombeni ushauri nitumie mafuta gani ili mikono yangu iwe laini maana hata ukisalimiana na mtu ni hatari. Nimejaribu kukata lakini baada ya muda inarudia.

4b1b5480a9edec577fdc0cc42fe5feb2.jpg
hali yake ya kawaida
 
Ungetuambia na aina ya kazi unayofanya ndg kwanza........maana kuna mazingira ya kazi yanachangia.
 
Utakuwa una nyota ya kilimo
Mi nalima sana kwa mikono,nalisha sungura na kusafisha mabanda kuku lakin mikono yangu ni raiiini kama bosi ya ofisi fulan hvi..tumia RINJU lotion mzee
 
Acha kufanya kazi ngumu au tafuta gloves za ngozi wakati unafanya kazi ngumu. Zitasaidia kupunguza msuguano kwenye mikono yako na vitendea kazi vyako...

gloves.png
 
Sehemu unaoishi labda maji yana kemikali inayokuharibu. Tumia gloves hasa unapofua au kuosha. Mara kwa mara chukua sukari kidogo kwa vidole tu kamulia limao fikicha iache kwa dk 5 kisha nawa na ujipake lotion ya kawaida
 
Sehemu unaoishi labda maji yana kemikali inayokuharibu. Tumia gloves hasa unapofua au kuosha. Mara kwa mara chukua sukari kidogo kwa vidole tu kamulia limao fikicha iache kwa dk 5 kisha nawa na ujipake lotion ya kawaida
Nimeishi mikoa kama mitano hv lkn nko vile via vile,sawa ntafanyia kazi ushaul wako
 
Waungwana mikono yangu imekuwa ikiota sugu na kuwa migumu yaani imekomaa siyo kawaida wakati nafanya kazi za kawaida tu ambazo haziwezi kupelekea mikono yangu kuwa hivi.

Naombeni ushauri nitumie mafuta gani ili mikono yangu iwe laini maana hata ukisalimiana na mtu ni hatari. Nimejaribu kukata lakini baada ya muda inarudia.

4b1b5480a9edec577fdc0cc42fe5feb2.jpg
hali yake ya kawaida
Piga nyeto mkuu, unapokaribia kumwaga kinga shahawa then pakaa mikononi kaa masaa mawili hadi matatu bila kushika maji fanya hivo kutwa mara tatu utaona matokeo ndani ya wiki mbili tu.
 
Back
Top Bottom