mikopo bado, msiwe na presha

Sir Chazz

Member
Joined
Sep 1, 2013
Posts
7
Reaction score
0
kulingana na tanzania daima la leo, waliopata mikopo ni 94% kati ya walioomba. waliokosa ni wale ambao hawakurekebisha form zao ni kama elfu 3. mchanganuo utakamilika wiki ya kwanza ya mwezi wa kumi. akihojiwa mkurugenzi wa bodi jana
 
Vip kuhusu kwa watu wa diploma,au sisi ndo bado,maana kuna jamaa mmoja amesema kwa saizi nikwa vi 2,
 
kama ni kwel. Lakin kuna watu wamerekebsha juzi juzi tu wamepata na wengine katika list ya waliokosea hawakuwepo ila wamekosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…