mikopo form 6

DOR_CAS

Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
6
Reaction score
0
samahanini wapendwa je form 6 wameshaanza kuomba mikopo,,,au kunahabari gani kuhusu hili naomba kufahamishwa,,,
 
4m6 wa mwaka gani? coz waliohitimu f6 kuanzia 1988-2013 wanaruhusiwa kuomba mkopo na walianza 14/05/2013 wish ni 30/06/2013,
 
4m6 wa mwaka gani? coz waliohitimu f6 kuanzia 1988-2013 wanaruhusiwa kuomba mkopo na walianza 14/05/2013 wish ni 30/06/2013,

Hata f6 2013 wameshaanza?au mpaka wapate matokeo ndo waombe?Nifafanulie please.
 
Ishu ya mkopo kama matokeo bado, huwez kuomba. Subr matokeo. Usiogope wataongeza ded line. Ila kama hujamalza 6 mwaka huu, unaruhusiwa kuanza kuomba.
 
Mjumbe acha kumpotosha mwenzako, jamaa walipotangaza watu waanze kuomba walisema watu wote wanaotarajia kuomba mkopo kwa mwaka wa masomo 2013/14 waanze kuomba,na haijalishi umemaliza f6 lini. Deadline kwa waombaji wote ni tareh 30/06/2013. Baada ya hapo,ambae atakuwa either hajaomba au hajaupdate itakula kwake. Kazi kwenu ambao bado mnasoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…