Mjumbe acha kumpotosha mwenzako, jamaa walipotangaza watu waanze kuomba walisema watu wote wanaotarajia kuomba mkopo kwa mwaka wa masomo 2013/14 waanze kuomba,na haijalishi umemaliza f6 lini. Deadline kwa waombaji wote ni tareh 30/06/2013. Baada ya hapo,ambae atakuwa either hajaomba au hajaupdate itakula kwake. Kazi kwenu ambao bado mnasoma.