Mbute na chai
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 564
- 593
Kwa mujibu wa gazeti la nipashe la hii leo 25/09/2012, bodi ya mikopo yatamka mikopo kuanza kupelekwa vyuoni kuanzia wiki hii. Habari njema bt wishing you financial discipline in expenditure of your loans.
Mtasubiri saaana,mtasikia mara ooh mchakato unaendelea,mara ooh hili tatzo tunalshughulikia,mara ooo tunafanya logistics!.Bongo c ya matumaini mpaka ujionee mwenyewe.Mtaniambia itakavyokuwa!
Mtasubiri saaana,mtasikia mara ooh mchakato unaendelea,mara ooh hili tatzo tunalshughulikia,mara ooo tunafanya logistics!.Bongo c ya matumaini mpaka ujionee mwenyewe.Mtaniambia itakavyokuwa!
Mtasubiri saaana,mtasikia mara ooh mchakato unaendelea,mara ooh hili tatzo tunalshughulikia,mara ooo tunafanya logistics!.Bongo c ya matumaini mpaka ujionee mwenyewe.Mtaniambia itakavyokuwa!
hahahahahahahahahahahahah!!ngoja ninunue walet
1.5 kbkupelekwa vyuoni na siyo kugawia wanafunzi.
1.5 kb
Sidhani kama fedha ya serikali inagawiwa kama njugu.Vigezo na masharti kuzingatiwa. Itawabidi wanafunzi kusajiriwa kwanza vyuoni na hatimaye kusaini vocha za malipo.It takes time!
Kwa mujibu wa gazeti la nipashe la hii leo 25/09/2012, bodi ya mikopo yatamka mikopo kuanza kupelekwa vyuoni kuanzia wiki hii. Habari njema bt wishing you financial discipline in expenditure of your loans.
Kwa niaba ya ya first year nasema Akhsante kwa mchango wako