Mikopo kwa elimu ya juu

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Huu ni ubinafsi au ufisadi?
  1. Watoto wa vigogo kama marais, mawaziri, majaji, wabunge nk kupata mikopo halafu washindwe kuirudisha kwa wakati!
  2. Watoto hawa wa vigogo kupewa mikopo wakati watoto wa mafukara wanakosa!
  3. Vigogo wenyewe kuchukuwa mikopo na kushindwa kulipa kwa wakati!
Tafakari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…