B Baba Genovivah JF-Expert Member Joined Sep 1, 2013 Posts 756 Reaction score 249 Nov 4, 2014 #1 japo walikatishwa tamaa eti watakomaa mwaka mzima bila boom lasivyo waende kwenye vyuo walopangwa mwanzo.,ila habari ni njema sababu TCU&HESLB tayari washaweka mambo sawa wale wa bugando majina tayari
japo walikatishwa tamaa eti watakomaa mwaka mzima bila boom lasivyo waende kwenye vyuo walopangwa mwanzo.,ila habari ni njema sababu TCU&HESLB tayari washaweka mambo sawa wale wa bugando majina tayari