Mikopo kwa ujenzi wa nyumba

Maimoso

Member
Joined
Feb 2, 2017
Posts
5
Reaction score
1
Taasisi nyingi za fedha zikiwepe benki hazitoi "grace period" hasa kwa wakopaji wadogo kwa shughuli za ujenzi wa nyumba za biashara mfano kupangisha kwa ajili ya malazi. Kiwanja ninacho (unsurveyed) nimeshindwa kukamilisha ujenzi ili niweke wapangaji. Nitapata wapi msaada ? Benki zingetusaidia wananchi wa namna hii kwa kutupatia mikopo yenye "grace period" (kipindi cha miezi au miaka kadhaa kabla ya urejeshaji mkopo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…