Umefikia kiwango cha kusoma mastaz na phd hujalijua hilo....
Kweli hii ndo......
WELCOME IN TANZANIA!
nijuavyo mimi kwa sasa hivi bodi wanatoa mikopo kwa watu wa undergraduate, masters na phd. Unajisupport mwenyewe unless serikali ikakusomeshe kutokana na huitaji flani inayotaka ndio unaweza kukopeshwa.