MIKOPO KWA WACHIMBAJI WADOGO

MIKOPO KWA WACHIMBAJI WADOGO

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Serikali imeendelea kutoa mikopo kwa wachimbaji wadogo wa madini nchini. Katika kipindi cha julai 2023 hadi machi 2024 jumla ya shilingi bilioni 187 zilikopeshwa kwa wachimbaji ukilinganishwa na shilingi bilioni 145 zilikopeshwa mwaka 2022 sawa na ongezeko la shilingi bilioni 42.
 

Attachments

  • 20240911_175743.jpg
    20240911_175743.jpg
    88.8 KB · Views: 2
bank gani inakopesha aisee.maana hapa naangaika na mtaji.nina vifaa vya ujimbaji ,karasha,compressa ,nk .help me please
 
Tunaelekea uchaguzi itatoka mikopo mpk ya wanywaji bia, baada ya uchaguzi wanapigwa pini
 
Back
Top Bottom