Mikopo kwa walio apeal inatoka lini ?

Evarson

Member
Joined
Feb 2, 2015
Posts
26
Reaction score
9
Naomba kuuliza kwa mwenye utambuzi,ni lini majina ya mikopo ya elimu ya juu yatatoka kwa walio apeal ?, au pengine yametoka mi ndo sijapata taarifa?
 
Hapa SUA wametoa ijumaa jion lakini sio waliopata ni waliokosa na sababu zao kibao tu. wengine walioappeal hawajaonekana majina yao kama mimi. vuta subira watatoa muda si mrefu maana waliopata mkopo walisha saini kwa mara ya pili tayari. be torelant.
 
Je kwa tulioappeal tutapewa pesa yote au n pale tutakapopewa ndo tunahesabiwa pesa muda ule?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…