TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Mikopo tumekopa sawa,ni kipi cha maana kimefanywa na hiyo mikopo?
Hilo ni swali, nahitaji majibu
Hilo ni swali, nahitaji majibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikopo tumekopa sawa,ni kipi cha maana kimefanywa na hiyo mikopo?
Hilo ni swali, nahitaji majibu
Kwamba nitoke niulize halafu unifundishe heshima,heshima ipi?Nyie si ma bwege na hamna cha kuwafanya?... Ni hivi, mikopo tumekula(ref zawadi ya gari kwa babra) na cha maana hakuna. Na lakufanya huna. Na kulipa mtalipa nyie. unauliza kwa kujificha Ficha si ujitokeze uulize vizuri tukufundishe heshma. Jinga kabisa
toka na hadharani Uliza. ndio utelewa jibu la swali lakoKwamba nitoke niulize halafu unifundishe heshima,heshima ipi?
Hali mbaya kwa sababu zipi? fedha za tozo zinakwenda wapi? na kodi wananchi wanalipa kama kawaida? Kifupi Nyie wananchi ni wapumbavu na hamna la kuwafanya zaidi ya kukificha huku. pumbaaavu kabisaNchi ina hali mbaya. Hiyo mikopo ni ya kuendeshea tu nchi.
Tozo za madafu ndiyo zitaendesha nchi?Hali mbaya kwa sababu zipi? fedha za tozo zinakwenda wapi? na kodi wananchi wanalipa kama kawaida? Kifupi Nyie wananchi ni wapumbavu na hamna la kuwafanya zaidi ya kukificha huku. pumbaaavu kabisa
Mtafanyaje sasa? zaidi ya Kulia lia tu humu?
vizuri sana. unajua ni kiasi gani kinakusanywa kwa mwaka kipitia tozo?Tozo za madafu ndiyo zitaendesha nchi?
Hata kuwe kikubwa vipi, pesa madafu haiwezi kuendesha nchi. Ni sawa utegemee upate mtoto kwa punyeto.vizuri sana. unajua ni kiasi gani kinakusanywa kwa mwaka kipitia tozo?
Wakikujibu niite MbwaMikopo tumekopa sawa,ni kipi cha maana kimefanywa na hiyo mikopo?
Hilo ni swali, nahitaji majibu
Nyie ndio mlienda shule kusomea ujinga. Currency yako unaiita Madafu? hujui hata hizo unazoziabudu zinapatikana kutoka kwenye pesa yako. na hata hiyo Yao inalipwa kutokana na pesa yako. LEVEL UP ShetaniHata kuwe kikubwa vipi, pesa madafu haiwezi kuendesha nchi. Ni sawa utegemee upate mtoto kwa punyeto.