Luge son Member Joined Jun 16, 2016 Posts 24 Reaction score 18 Nov 1, 2018 #1 Habari za kazi ndugu zangu. Mimi hapa ni muhitimu wa chuo nimekuja kwenu kuulizia ni taasisi gani ya kibenk inayotoa Mkopo wa bajaji au gari aina ya carry(kirikuu) kwa kuwa ndio biashara ambazo nina uzoefu nazo katika kuzifanya.
Habari za kazi ndugu zangu. Mimi hapa ni muhitimu wa chuo nimekuja kwenu kuulizia ni taasisi gani ya kibenk inayotoa Mkopo wa bajaji au gari aina ya carry(kirikuu) kwa kuwa ndio biashara ambazo nina uzoefu nazo katika kuzifanya.
Fedor von Bock JF-Expert Member Joined Apr 16, 2015 Posts 2,321 Reaction score 2,157 Nov 3, 2018 #2 HESLB
Jerrymsigwa JF-Expert Member Joined Jun 23, 2012 Posts 14,084 Reaction score 8,384 Nov 3, 2018 #3 Charles Dotter said: HESLB Click to expand... Acha ufalla
Fedor von Bock JF-Expert Member Joined Apr 16, 2015 Posts 2,321 Reaction score 2,157 Nov 3, 2018 #4 Jerrymsigwa said: Acha ufalla Click to expand... MBONA UMEPANICK, AU HAUTAKI MKOPO
Jerrymsigwa JF-Expert Member Joined Jun 23, 2012 Posts 14,084 Reaction score 8,384 Nov 3, 2018 #5 Charles Dotter said: MBONA UMEPANICK, AU HAUTAKI MKOPO Click to expand... Budda hiyo helsb ni kwa wapiga msuli
Charles Dotter said: MBONA UMEPANICK, AU HAUTAKI MKOPO Click to expand... Budda hiyo helsb ni kwa wapiga msuli
Mgumu04 JF-Expert Member Joined Jul 15, 2011 Posts 1,940 Reaction score 1,055 Nov 4, 2018 #6 Kitu kigumu hasa kwa graduate ni kupata mtaji, pambana tu Hakuna mkopo kwa graduate wa kitanzania.
Tape measure JF-Expert Member Joined Nov 26, 2015 Posts 1,981 Reaction score 3,604 Nov 4, 2018 #7 acha mawazo feki gutuka toka usingizin kumekucha kapambane mtaani duniani haukuna vitu kama ivyo