Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kadi inakuwaje dhamana kwenye mkopo kwamba anayekudai anakuwa na access na akaunti yako? is that legal?Naomba kufahamishwa Kama nimeshindwa kulipa mkopo ambao dhamana yake ulikuwa ni kadi ya bank... Kisheria inakuaje??
Umeshindwa vipi kulipa na wakati kadi anayo mdai wako? Halafu kuna salary advance NMB na CRDB kwa watumishi wa umma! Kwa nini ukakope mkopo wa kuwekea dhamana ya ATM Card?Naomba kufahamishwa Kama nimeshindwa kulipa mkopo ambao dhamana yake ulikuwa ni kadi ya bank... Kisheria inakuaje??
Haya mambo Walimu shinyanga wamepigwa huu mwaka. Wameweka bond kadi wanezirenew na wanawahi kutoa hela kabla ya wanaowadai. Hii ni dhulma tukadi inakuwaje dhamana kwenye mkopo kwamba anayekudai anakuwa na access na akaunti yako? is that legal?
huwa inashangaza sana. walimu hujirahisisha sanaHaya mambo Walimu shinyanga wamepigwa huu mwaka. Wameweka bond kadi wanezirenew na wanawahi kutoa hela kabla ya wanaowadai. Hii ni dhulma tu
Gudi moning classWalimu tuna hali ngumu....walimu!!!
na sisi tuna umuhimu....walimu!!!
tutazua kitim tim...
hadi wizara ya elimu...walimu!!![emoji445][emoji444][emoji443][emoji443]