Tujikomboe Finance
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 212
- 81
Kama unahitaji mkopo wa dharura tuwasiliane. Muda wa mkopo ni mwezi mmoja tu. Riba kwa mwezi ni kati ya 20%- 30% kiasi kamili cha riba kinajadilika kulingana na ubora wa dhamana. Dhamana ya mkopo inayokubalika ni gari, na mkopaji awe tayari kukabidhi gari hilo pamoja na nyaraka zake kwa muda wote huo wa mkopo. Hakuna gharama zingine zozote. Ofisi zipo Wilaya ya Temeke Mbagala rangi Tatu. Huduma hii ni kwa ajili ya wateja wote waliopo mkoa wa DSM na Pwani. Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa namba hii 0786 66 30 65 kuanzia saa 2.00 asubuhi hadi 11.00 jioni Jumatatu- Ijumaa
Karibu
Karibu