Tujikomboe Finance
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 212
- 81
Kama unahitaji mkopo wa dharura tuwasiliane. Muda wa mkopo ni mwezi mmoja hadi miezi miwili. Riba kwa mwezi ni kati ya 20%- 30% kwa mwezi: riba inajadilika kulingana na ubora wa dhamana. Dhamana ya mkopo, mkopaji awe tayari kuacha gari au kiwanja. Hakuna gharama zingine.
Karibu
Mkopaji akubali kuacha gari au kiwanja,how? Ofisi zenu zipo wapi? Mmesajiliwa? All in all thread yako haijitoshelezi,
You are not our target group
Kama unahitaji mkopo wa dharura tuwasiliane. Muda wa mkopo ni mwezi mmoja hadi miezi miwili. Riba kwa mwezi ni kati ya 20%- 30% kwa mwezi: riba inajadilika kulingana na ubora wa dhamana. Dhamana ya mkopo, mkopaji awe tayari kuacha gari au kiwanja. Hakuna gharama zingine.
Karibu
Mkopaji akubali kuacha gari au kiwanja,how? Ofisi zenu zipo wapi? Mmesajiliwa? All in all thread yako haijitoshelezi,
Shylock at work; Customer be aware!!
You are not our target group
Aliyekutuma kuja kuleta hii post nina hakika alikosa mtu mwingine ndo maana akakuchagua,bora liende,
Kajipange sio kukurupuka tu kama unafukuzwa na simba
Halafu umkute ameukabia Suti yake huyo wakati anaimbisha watu,unaweza kusema Bonge la msomi.
Lakini kujieleza tu tatizo.Wengine tukishindwa maisha tukalime jamani.Mjini joto
Kazi nyingine Laana tu kwa mungu,maisha mafupi sana tofauti na tunavyofikiria.Mkuu kuna vijana flani wapo Temeke ni jamii ya huyu daa yani ni km utapeli huwa nawaonea sana watu huruma hiyo gari na hati ya shamba wanayokwambia ni kwamba mnaingia nao mikataba wanakupa pesa usipolipa baada ya mwezi mmoja ulichoweka kinakuwa chao haijalishi pesa uliyokopa yani hawa ni zaidi ya wezi