Mikopo ya Elimu ya Juu: Je, watumishi wa Umma wana ruzuku ya kusomesha watoto wao tofauti na wengine?

Eti mtu niyatima na anatika kaya maskini mlezi anakitambulisho cha TASAF kisha anapewa ada hata nusu haifiki
Huyo mama ambaye ndio mkurugenzi wa uchambuzi na upangaji mikopo ataondoka hapo bodi kwa dhuluma na roho mbaya anayofanyia watoto wakimaskini na yatima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…