Handsome Boy 2014
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 605
- 151
Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania alinukuliwa na vyombo vya habari akisema kuwa umefika wakati wa elimu ya sekondari kutolewa bure na Wanafunzi wa elimu ya juu walioomba mkopo kupewa wote.Nimuombe Mheshimiwa Rais hebu kauli yake aisimamie kwa vitendo ili watoto wa Watanzania waweze kupewa mkopo ili kumudu kusoma elimu ya juu.