Hivi kumbe bado wapo baadhi ya Watanzania wanaendelea kumsikiliza Kikwete!!!
Jamani, kama makosa kweli tuliyafanya mwaka 2005. Binafsi nilimdharau huyo Kikwete tangu 2008 (kwenye suala la Rich Mond), pia suala la EPA pamoja na madawa ya kulevya.
Hapa nilipo simtambui Kikwete kama ni rais na maisha yangu yanaendelea kama kawaida (namshukuru The Almight).
Hivyo, jitahidini kutazama njia zingine mbadala ili muweze kuishi maisha yenu, ila msiitegemee serikali ya huyo Kikwete.