Habari zenu wana JF...
Naomba kupata maelezo kuhusu mikopo ya nyumba inayotolewa na benki ya azania,chochote unachofahamu sababu huwa naona tu matangazo kwenye mabango.
Ahsante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.