Mikopo ya online ambayo imetapakaa Playstore

sinaham

Member
Joined
Mar 31, 2024
Posts
76
Reaction score
90
Natumaini muwazima. Shida hazina adabu unajikuta unaingia online unaanika taarifa zako na unapewak kamkopo ka sh 20,000 interest kuuubwa.

Lakini naomba kuuliza kuhusu usalama na hali halisi ya hivi vitaasisi.

Naelewa ukikopa sh 10k ukakaa nayo ikazaa riba inaweza fika milioni.

Kasheshe ninwakianza kukusumbua.

Naomba ufafanuzi wa hili jambo wajuzi
 
Zipo baadhi ya kampuni za wakopeshaj hawakupi pesa kirahisi mathalani

Pesax nakadhalika kwa sabab wanahisi applicant's anataka 200000 bila uthibitisho wa kutosha ni tatizo
 
Kwa ujumla ni hatari na huenda taarifa zako zikatumika vibaya ila ndio hivyo life ikikaba Kila wanachoomba we unaweka tu ili hela ije maisha haya!!πŸ™ŒπŸ˜₯πŸ˜₯
 
UKICHELEWA TU UTASHTUKI ABABA MKWE WAKO ANAKUPIGIA SIMU NAKUKUULIZA MWANANGU IKUHIZI UMEKUWA TAPELI KWELIII??
 
Nifanyeje easiweze kuaccess conta zangu
Nenda settings, ingia privacy then app permission... Utaona pale apps ulizowapatia access then unaziondoa... Nafikiri umeelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…