Mikopo ya taasisi ndogo

Dukani

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
1,136
Reaction score
1,652
Naomba kufahamu Sheria zinazotumika kwa Taasisi ndogo za mikopo kama FINCA, Fanikiwa, SEDA, nk. Hizi taasisi zimekuwa zikishika vitu vya watu vya ndani bila hata ruhusa ya Mahakama.

Navyojua mimi Mahakama ndo yenye kurusu Mali au dhamani ya mkopaji kuuzwa, najua wanasheria mpo naomba ufafanuzi wa kisheria kwenye hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: amu
Hizi taasisi aziuzi vitu! Wanakikundi mnaodhamiiana ndo wanauza! Ni wajanja ukiwashitaki wanakuruka!
 
Reactions: amu
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…