Sabode
Senior Member
- Apr 11, 2008
- 160
- 23
Ndugu wanajamvi salaam.
Baada ya kusikiliza na kusoma hotuba ya Rais wetu Mh JK. ya mwisho wa mwezi wa Januari nilivutiwa sana sa sehemu kama kichwa cha thread hii kinavyo someka.
Kimsingi naona iwapo sheria hiyo itatekelezwa bila urasimu, rushwa na ufisadi basi maisha bora kwa kila mtz yatawezekana. Hivyo basi kwa sheria hiyo najipanga kuanzisha kampuni ya ujenzi wa nyumba bora za kuishi kwa bei nafuu na kuzikopesha kwa watz kupitia mabenki.
Lakini kwa sasa sina taaluma yeyote kuhusiana na ujenzi ila lengo langu ni kununua taaluma hiyo kwa walio isomea, na kwa upande wangu naanza kusomea kudizaini nyumba kuanzia ndogondogo hadi za wastani ambazo ndo haswa naona zina hitajika zaidi.
Sasa nimeliweka hili hapa ili wanajamvi mnipatie michango yenu ya mawazo nini nahitaji kwa upande wa taaluma na jambo lolote litakalofanikisha lengo langu.
Aidha nataka kuanza kuandika biznes plan au project hii lakini pia sina utalamu wa kuandika hiyo. ktk hilo pia naomba mchango kutoka hapahapa jamvini.
Kisha mnaionaje hiyo pamoja na sheria zingine mbili ambazo Mh Rais JK alizizungumzia katika hiyo hotuba?
Karibuni tujadili suala hili kiundani ,Changamoto zake, faida, hasara, vikwazo nk.
Wanajamvi KARIBUNI SASA
Baada ya kusikiliza na kusoma hotuba ya Rais wetu Mh JK. ya mwisho wa mwezi wa Januari nilivutiwa sana sa sehemu kama kichwa cha thread hii kinavyo someka.
Kimsingi naona iwapo sheria hiyo itatekelezwa bila urasimu, rushwa na ufisadi basi maisha bora kwa kila mtz yatawezekana. Hivyo basi kwa sheria hiyo najipanga kuanzisha kampuni ya ujenzi wa nyumba bora za kuishi kwa bei nafuu na kuzikopesha kwa watz kupitia mabenki.
Lakini kwa sasa sina taaluma yeyote kuhusiana na ujenzi ila lengo langu ni kununua taaluma hiyo kwa walio isomea, na kwa upande wangu naanza kusomea kudizaini nyumba kuanzia ndogondogo hadi za wastani ambazo ndo haswa naona zina hitajika zaidi.
Sasa nimeliweka hili hapa ili wanajamvi mnipatie michango yenu ya mawazo nini nahitaji kwa upande wa taaluma na jambo lolote litakalofanikisha lengo langu.
Aidha nataka kuanza kuandika biznes plan au project hii lakini pia sina utalamu wa kuandika hiyo. ktk hilo pia naomba mchango kutoka hapahapa jamvini.
Kisha mnaionaje hiyo pamoja na sheria zingine mbili ambazo Mh Rais JK alizizungumzia katika hiyo hotuba?
Karibuni tujadili suala hili kiundani ,Changamoto zake, faida, hasara, vikwazo nk.
Wanajamvi KARIBUNI SASA