Mikopo ya Vikundi - Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) mpaka wa Milioni Tano

Mikopo ya Vikundi - Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) mpaka wa Milioni Tano

Caren

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2010
Posts
278
Reaction score
91
Wadau,
Nimeona watu wengi katika hii subforum ya Ujasiriamali wanaulizia namna ya kupata mikopo ya kuendesha biashara zao (hasa isiyohitaji kuweka dhamana).

Baada ya kuona wengi hawapati majibu sahihi nimeona nami nichangie kwa kuwaambia kuhusu mikopo ya vikundi pale Benki ya Wanawake (TWB). Mikopo hii inayoanzia na mkopo wa TZS 200,000 ni mikopo inayolenga kuwakomboa wajasiriamali wadogo na inaaambatana na mafunzo ya namna ya kuendesha biashara. Uzuri wa mikopo hii watu hawaweki dhamana ya mali bali dhamana ni utu wako tu.

Nenda pale TWB kwa maelezo zaidi. Nitawatumia taarifa za ziada kama mtazihitaji. By the way mikopo ya vikundi pia ipo Dar es Salaam Community Bank na FINCA na PRIDE.

Ukiamua unaweza.
 
a good business idea is realised possible by a person .... a group ?
 
The group only acts as a guarantee for your loan. The group should be a believer of your business idea. If a group of 5 can not believe in your ability as a business person then your business idea is as good as dead.
 
The group only acts as a guarantee for your loan. The group should be a believer of your business idea. If a group of 5 can not believe in your ability as a business person then your business idea is as good as dead.

Caren

business is not about believing or feelings ..... business is about profit or loss .... a group will not sail in the same boat if and only if the venture entity is in a single ownership .... sales with profit from a good business idea are key to financial empowerment
 
Back
Top Bottom