mikopo ya magari ,pikipiki au baiskeli kwa mujibu wa waraka wa serikali wa mwaka 2011.
Labda hamna sifa! au mpo kenye list, ninavyofahamu wote walioomba awamu ya kwanza walishapewa fedha na tayari watumishi wameomba kwa awamu ya pili ndo wanasubiri. Naamini waraka uliuelewa vizuri usilaumu wasiohusika. Km wewe ni mtumishi wa serikali naamini utakuwa unaelewa namna taratibu za fedha zinavyochukua muda c km taasisi za fedha zinazotoa ndani ya saa 24, kuwa na subri mkuu na fuatilia kwa wakuu wako kwa ufafanuzi zaidi.meseji hii nimeipata baada ya mimi na wafanyakazi wenzangu kuufuatilia mkopo huo bila mafanikio.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Labda hamna sifa! au mpo kenye list, ninavyofahamu wote walioomba awamu ya kwanza walishapewa fedha na tayari watumishi wameomba kwa awamu ya pili ndo wanasubiri. Naamini waraka uliuelewa vizuri usilaumu wasiohusika. Km wewe ni mtumishi wa serikali naamini utakuwa unaelewa namna taratibu za fedha zinavyochukua muda c km taasisi za fedha zinazotoa ndani ya saa 24, kuwa na subri mkuu na fuatilia kwa wakuu wako kwa ufafanuzi zaidi.
hii ndiyo message niliyopata baada ya kuapply mkopo wa vyombo vya usafiri kwa wafanyakazi wa serikali.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
kuna mikopo ya magari mapya,magari used,spea za magari,pikipiki n.kMkuu hii habari siyo kweli. Mbona mie nimepata. Ila mikopo yenyewe siyo mizuri kwani gari wanazokopesha ni mpya tu hivyo makato yake wengi hawawezi kulipa. Wangekopesha hata magari yaliyotumika. Nadhani mkuu kipato chako inaonesha hukopesheki. Kwani mie nimekopeshwa MITSUBISH HARD TOP 2500 CC kwa 51,705,120.00
Mafurahia watu wanaojitahidi kueleza ukweli, sa huyu jamaa keshamwaga sumu humu inywewe af ye anakaa pembeni, kumbe anajua hana vigezo, af sheriamya kununua 'used' nafkiri anajua serikali haiimind,
ndio majibu yenu haya pale hazina.unataka kusema mkurugenzi alikuwa mwendawazimu kunipitishia ombi langu ?yaani hakuangalia kama nina makato mengine?kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa.Maneno ya mfa maji wewe una mikopo lukiki bado unataka kukopa, ndo maana huna sifa, jifanyie tathmini mkuu acha kulalamika.
Mkuu Mpigauzi nimependa ulivyochangia hoja kwa umahiri mkubwa, mimi pia ni mtumishi wa serikali kipato changu hakizidi milioni moja na nusu na wala hakipungui milioni moja kwa mwezi. Naomba ni-pm jinsi ya ku-apply hiyo mikopo/hatua za kupitia.Mkuu hii habari siyo kweli. Mbona mie nimepata. Ila mikopo yenyewe siyo mizuri kwani gari wanazokopesha ni mpya tu hivyo makato yake wengi hawawezi kulipa. Wangekopesha hata magari yaliyotumika. Nadhani mkuu kipato chako inaonesha hukopesheki. Kwani mie nimekopeshwa MITSUBISH HARD TOP 2500 CC kwa 51,705,120.00
Labda hamna sifa! au mpo kenye list, ninavyofahamu wote walioomba awamu ya kwanza walishapewa fedha na tayari watumishi wameomba kwa awamu ya pili ndo wanasubiri. Naamini waraka uliuelewa vizuri usilaumu wasiohusika. Km wewe ni mtumishi wa serikali naamini utakuwa unaelewa namna taratibu za fedha zinavyochukua muda c km taasisi za fedha zinazotoa ndani ya saa 24, kuwa na subri mkuu na fuatilia kwa wakuu wako kwa ufafanuzi zaidi.
Kwanza mikopo hii inatolewa kwa wafanya kazi wa serikali tu, wizara na idara za serikali na siyo Halmashauri.labda utueleweshe inaelekea unafahamu wa hiyo mikopo.je mtu akiaply inaweza chukua muda gani?na inasimamiwaje ili hadi wa chini wapate?