profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
Kama unavyoona kuzipata Milioni 16 kwa pamoja ni kazi ngumu badi ujue hao wenye nazo hawawezi kukukabidhi tu bure au kirahisi.Ndugu wataalam wa fedha,wachumi na wabobevu wa mambo ya pesa.
Nauliza ni benki gani inatoa mikopo walau yenye riba nafuu kwa waajiriwa wa serikali,kuna mfanyakazi mwenzangu amekopa benki moja kongwe hapa nchini,naona kama riba kubwa sana,angalia hapa
1.MKOPO-16,000,000/
2.MUDA-MIEZI 60
3.MAKATO KWA MWEZI-380,000/
Wakati anakopa alikatwa baadhi ya pesa,alipata kama 15.3m,atarudisha kama juma kama 22,000,000/,na nasikia mwaka huu wa fedha,riba zimepanda benki..
Sijui ni benki ipi in nafuu wakuu...
Mil16 unaitafuta kwa miezi mingapi kwa take home yako mkuu?Ndugu wataalam wa fedha, wachumi na wabobevu wa mambo ya pesa.
Nauliza ni benki gani inatoa mikopo walau yenye riba nafuu kwa waajiriwa wa serikali, kuna mfanyakazi mwenzangu amekopa benki moja kongwe hapa nchini, naona kama riba kubwa sana, angalia hapa
1. MKOPO-16,000,000/
2. MUDA-MIEZI 60
3. MAKATO KWA MWEZI-380,000/
Wakati anakopa alikatwa baadhi ya pesa, alipata kama 15.3m, atarudisha kama juma kama 22,000,000/na nasikia mwaka huu wa fedha, riba zimepanda benki.
Sijui ni benki ipi in nafuu wakuu.
Pesa kidogo sana hiyo nani akupe pesa yake ukae nayo mdaa wote huo tafaakari kabla ya kuuandikaa,Ndugu wataalam wa fedha, wachumi na wabobevu wa mambo ya pesa.
Nauliza ni benki gani inatoa mikopo walau yenye riba nafuu kwa waajiriwa wa serikali, kuna mfanyakazi mwenzangu amekopa benki moja kongwe hapa nchini, naona kama riba kubwa sana, angalia hapa
1. MKOPO-16,000,000/
2. MUDA-MIEZI 60
3. MAKATO KWA MWEZI-380,000/
Wakati anakopa alikatwa baadhi ya pesa, alipata kama 15.3m, atarudisha kama juma kama 22,000,000/na nasikia mwaka huu wa fedha, riba zimepanda benki.
Sijui ni benki ipi in nafuu wakuu.
Hayo marejesho ya 22M ni calculation za siku ile alipokuwa anachukua mkopo.Ndugu wataalam wa fedha,wachumi na wabobevu wa mambo ya pesa.
Nauliza ni benki gani inatoa mikopo walau yenye riba nafuu kwa waajiriwa wa serikali,kuna mfanyakazi mwenzangu amekopa benki moja kongwe hapa nchini,naona kama riba kubwa sana,angalia hapa
1.MKOPO-16,000,000/
2.MUDA-MIEZI 60
3.MAKATO KWA MWEZI-380,000/
Wakati anakopa alikatwa baadhi ya pesa,alipata kama 15.3m,atarudisha kama juma kama 22,000,000/,na nasikia mwaka huu wa fedha,riba zimepanda benki..
Sijui ni benki ipi in nafuu wakuu...
Sio ajenge, anumue IST ya kuwahi kazini.Kama unavyoona kuzipata Milioni 16 kwa pamoja ni kazi ngumu badi ujue hao wenye nazo hawawezi kukukabidhi tu bure au kirahisi.
Yaani wewe ukae tu uende kuchukua 16M ufanyie biashara? Kirahisi hivyo? Watahakikisha unalipa riba ya maana.
Mbaya zaidi unakopa ili ujenge
Muhimu ni kuchangia kwa maelezo ya mada..Mikopo kwa sasa ni nafuu kidogo kuliko ilivyokua miaka 6 ama 7 iliyopita.
Riba sasa inacheza 13% hadi 16, hii iko chini kulinganisha na riba ya 22% hadi 25 miaka 7 iliyopita.
Binafsi nilitegemea riba ishuke zaidi hadi 10 ama chini ya hapo lakini naona ni kama imeanza kuongezeka.
Shida ni kwamba nchi yetu ni nchi masikini, mzunguko wa fedha kwenye taasisi za kifedha ni mdogo, watu wa kawaida tunataka hizo hizo deposits ama savings ndogo zilizoko bank, serikali nayo inazitaka hizo hizo ikope kwa ajili ya shuguli zake mbali mbali kwa hiyo riba lazima itakua kubwa.
Hivyo kama una jambo lako unataka kufanya usiogope kukopa, wewe kopa tejeleza hilo jambo maisha yasonge mbele.
AiseeHayo marejesho ya 22M ni calculation za siku ile alipokuwa anachukua mkopo.
Kadiri muda unavyokwenda utashangaa anarejesha milioni hadi 25. Na hapo ndipo atashangaa na kuona anaibiwa.
Kuna siri kwenye mikopo wakopeshaji hawasemi ukweli.
Wanatumia Hesabu za Geometric Progression and arithemtic Mean.
In this case Bank zinatumia
compound Interest (CI).
Mfano;
Ukikopa shilingi 1000 kwa Riba ya 10%
1yr utalipa 1100
2nd Yr utalipa 1210
3rd yr utalipa 1331.
Ukichunguza kwa riba ya mwanzo umeongeza shiling Miamoja, lakini mwaka wa pili huongezi 100 bali 110, na mwaka unaofuata huongezi 110 tu bali 121 japo asilimia ni ile ile 10% ya riba.
Geometric Sequence ndio hutumika
CI =A(1+I)^n
Kukopa ni sanaa na science, hapo ndipo tunapochemsha. Tunakopa pesa kwa matumizi ya kawaida unabadilisha makochi na assets za nyumbani. Kopa uwekeze kama vile kuendeleza mradi n.kExim, Azania nafuu kidogo, lakini nakushauri kopa kama una jambo la maana la kufanya, mfano ukikopa ukanunua ardhi nazani utakuwa umepiga CAp kama ardhi yenyewe productive au unaongeza kwenye mtaji kopa
mkuu mbona hii mikopo ni kawaida kwa waajiriwa serikalini?ila haya makato ni fixed hayategemei kupanda au kushuka kwa usd na tsh.Muhimu ni kuchangia kwa maelezo ya mada..
Ukisoma mada mkopo wa 16,000,000 kwa miaka mitano kwa mwaka unatakiwa kulipa kama 3,200,000.
Malipo ya 380,000 kwa mwezi kwa mwaka ni kama 4,560,000.
Kwa mwaka faida ya bank 4,560,000 - 3,200,000 = 1,360,000 (hesabu rahisi).
Faida ya 1,360,000 kwa mkopo 3,200,000 hiyo ni interest charge ya 42.5% that’s just fixed rate. Kama ni floating rate huko mbele inaweza kuwa balaa kwa jamaa ukizingatia currency inflation ya tsh.
Binafsi ndio maana nikataka kujua ni bank gani hiyo, maana hii story imekaa kama hadithi.