Wadau naomba kuuliza kama kuna mtu anafahamu benki yoyote ambayo inatoa mikopo kwa wafanyakazi(personal loan)ambayo interest yake ni nafuu below 20.Sio lazima benk hata taasisi yenye masharti nafuu
Mkuu Malila Twiga Bancorp nao si ni lazima mkataba na mwajiri uwepo??
mana huwa kuna tatizo kwa upande wa waajiri wengine wanakuwa watata sana kufanya mkataba na bank kwa ajili ya wafanyakazi wake kupata mkopo.:disapointed:
Mkuu Malila Twiga Bancorp nao si ni lazima mkataba na mwajiri uwepo??
mana huwa kuna tatizo kwa upande wa waajiri wengine wanakuwa watata sana kufanya mkataba na bank kwa ajili ya wafanyakazi wake kupata mkopo.:disapointed:
Mkataba lazima uwepo,ila wao sio wasumbufu kama mwajiri wako ni mwelewa. Tatizo ni kwamba, bila mwajiri kuthibitisha kwamba wewe ni mwajiriwa wake na yuko tayari kwa lo lote,benki wataamini vipi?
Tambua kuwa TWIGA BANCORP ni ya serikali, na serikali yetu si unaijua jinsi ilivyokaaa. Wao kwao hata uki-sepa hawakufatilii sana shauri ya hali ya ufisad..., hiyo ndio advantage ya pale twiga.