K katumbwalala Member Joined Jan 17, 2013 Posts 27 Reaction score 20 Jan 21, 2024 #1 Kuna wanachuo wameondoka chuoni baada ya kukaa Toka October Hadi January na wengine wanapitia magumu Hadi sasa
Kuna wanachuo wameondoka chuoni baada ya kukaa Toka October Hadi January na wengine wanapitia magumu Hadi sasa
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Jan 21, 2024 #2 Watatoa wapi hela, wahuni tu hao!!! Nyinyi mhesabie tu maumivu.
Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 24,606 Reaction score 39,289 Jan 21, 2024 #3 Hawana hela, Degree wanawapa hela kwa batch. Malalamiko ya mfumo wa DIDIS ndo usiseme kikubwa management nzima ya bodi ya mikopo inawakosea sana watanzania
Hawana hela, Degree wanawapa hela kwa batch. Malalamiko ya mfumo wa DIDIS ndo usiseme kikubwa management nzima ya bodi ya mikopo inawakosea sana watanzania
georgeallen JF-Expert Member Joined Jun 3, 2011 Posts 4,118 Reaction score 1,875 Jan 21, 2024 #4 Tate Mkuu said: Watatoa wapi hela, wahuni tu hao!!! Nyinyi mhesabie tu maumivu. Click to expand... Pesa ipo..mbona tunanunua magoli ya simba, yanga, taifa stars kwa 10m/goal. Hivyo vibilioni 84 si ni pesa kwenda kusalimia ndugu zangu kule kwa wavaa makobazi kwa siku 10 tu.
Tate Mkuu said: Watatoa wapi hela, wahuni tu hao!!! Nyinyi mhesabie tu maumivu. Click to expand... Pesa ipo..mbona tunanunua magoli ya simba, yanga, taifa stars kwa 10m/goal. Hivyo vibilioni 84 si ni pesa kwenda kusalimia ndugu zangu kule kwa wavaa makobazi kwa siku 10 tu.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jan 21, 2024 #5 Mambo ya serikali ndivyo yalivyo...
AnyWayZ JF-Expert Member Joined May 30, 2022 Posts 4,880 Reaction score 8,424 Jan 29, 2024 #6 Wazazi wasomeshe watoto wao, mseleleko husababisha ajali na hata kifo.