Mikosi baada ya kuachana

Mikosi baada ya kuachana

Captain Fire

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2023
Posts
2,435
Reaction score
5,000
Habarini, ipo hivi kuna demu nimeachana nae kama miezi miwili sasa, nimekua nilipatwa na Balaa na matatizo kila kukicha mpaka najiuliza ameniroga au nini?

Niliachana nae sababu kuu ilikua akinilalamikia mambo kadhaa kama kutokujibu message nilikua namfokea saa zingine namwambia maneno ya chuki kama vile kumwita "malaya" baadae akaja kunikaushia kusemesha akasema simpendi ni bora kila mmoja aende na mambo yake.

Nilimpenda ila sikua na njia nyingine ukizingatia nilikua na kidem kiingine cha kutulia nacho nikamuitikia tukaachna.

Nipeni ushauri nifanyaje? Au nirudiane nae?
 
Ulichopata au unachopata huitwa 'negative wave'

Hii negative wave haitokani na kuachana na mtu Ila inatokana na attention au muitukio wa yale yanayokupata , ukosefu wa kufanya detachment huweza kupelekea kutiririka Kwa '
negative emotions wave '

So ushauri mdogo huu hapa 👎🏽
Just Practice more gratitude and detachment.

Energy au nishati huwa ina-flow sehemu yenye attention either iwe positive or negative

Umewahi kuambiwa fumba macho tuombe ?

Nitarudi hapa .
 
Habarini, ipo hivi kuna demu nimeachana nae kama miezi miwili sasa, nimekua nilipatwa na Balaa na matatizo kila kukicha mpaka najiuliza ameniroga au nini? Niliachana nae sababu kuu ilikua akinilalamikia mambo kadhaa kama kutokujibu message nilikua namfokea saa zingine namwambia maneno ya chuki kama vile kumwita "malaya" baadae akaja kunikaushia kusemesha akasema simpendi ni bora kila mmoja aende na mambo yake, nilimpenda ila sikua na njia nyingine ukizingatia nilikua na kidem kiingine cha kutulia nacho nikamuitikia tukaachna
Nipeni ushauri nifanyaje? Au nirudiane nae??
Khaa! Umri wako miaka mingapi?
 
Ulichopata au unachopata huitwa 'negative wave'

Hii negative wave haitokani na kuachana na mtu Ila inatokana na attention au muitukio wa yale yanayokupata , ukosefu wa kufanya detachment huweza kupelekea kutiririka Kwa '
negative emotions wave '

So ushauri mdogo huu hapa 👎🏽
Just Practice more gratitude and detachment.

Energy au nishati huwa ina-flow sehemu yenye attention either iwe positive or negative

Umewahi kuambiwa fumba macho tuombe ?

Nitarudi hapa .
Sawa ila mbona matatizo ndio yaniandame tangu niachane nae? Miaka yetu miwili matatizo kama haya sijawahi kuyapata
 
Back
Top Bottom