Mikosi na laana maarufu zaidi katika soka

Kuna laana inatred pale athletico Madrid.

Ni kwamba ikitokea mechi SAULI akafunga goli lolote,

Basi iyo mechi athletico hawatopoteza mechi mpk dkk 90 ziishe.

NDO MAANA ata juzi Costa alipokosa penalties, alipewa SAULI mwenye kismati chake.

Pia game ya athletico na Liverpool, Goli la SAULI liliamua matokeo licha ya Liverpool kuupiga mwingi.

Fuatilia mechi zote za athletico ambazo SAULI alipata kufunga Goli, Hakuna hata mechi Moja waliyopoteza ATHLETICO.

Ndo maana gemu ngumu zote, hata jamaa awe majeruhi vipi watamwomba acheze.
 
Aiseeee
 
Nasikia ata michael ballack alikuwa na mikosi na timu zake kutokubeba kombe....mfano ujerumani vs Brazil fainali 2002 worl cup.
 
Uzi mzuri sana.
Tumezoea laana hapa Afrika, kumbe kote Duniani vitu vya aina hiyo vipo.
 
Magu kila alipokuwa anaenda kwenye mechi ya simba lazima simba wapigwe!!

Wanavosemaga wenyewe simba eti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…