LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 519
Ishara ya karne alizoishi huyo mtu....
Hoja yako ina walakini kama ingelikuwa ni kweli basi sote tungelikuwa na mikunjo kwa sababu twaishi karne moja.........na tumezaliwa kwenye karne moja au shabihiana...........
Sorry my swahili not so good, I meant decades, sijui mnaitaje
Sorry my swahili not so good, I meant decades, sijui mnaitaje
Sasa inakuwaje wengine inakuwa horizontally na wengine vertically
ukubwa wa mafuvu/kipumi na ulaini wa ngozi ya mhusika hutengeneza makunyanzi kulingana na mrandano wa sura ya mhusika na jinsi ambavyo anataka kujielezea kupitia uso wake mwenyewe.......
Sorry my swahili not so good, I meant decades, sijui mnaitaje
Wazungu ndo huwa naona kama wanayo sana haya. Au na Gym nalo linachangia?
Madame naona haichukulii siriazi hii ishu. Hebu niambie kati ya yule mwenye mamikunjo na yule asiyenayo, yupi unampenda?