Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Wadau nchi yetu inaongozwa kwa Mujibu wa KATIBA iliyopo japo kuna Ukiukwaji Mkubwa wa KATIBA Unafanyika na Wenye KINGA Zao.
VYAMA vya SIASA vipo kwa Mujibu wa KATIBA na Shughuli zao zimeainishwa kwa Mujibu wa KATIBA
Toka AWAMU ya 5 imeingia Madarakani IMEVIZUIA VYAMA vya UPINZANI TU kufanya MIKUTANO ya HADHARA na ya NDANI Zuio ambalo Halikuwepo katika AWAMU zilizopita
Najiuliza ni Kwa Sheria ipi ndani ya KATIBA iliyovizuia VYAMA vya UPINZANI TU Kufanya MIKUTANO lakini IKARUHUSU CCM ifanye MIKUTANO?
VYAMA vya SIASA vipo kwa Mujibu wa KATIBA na Shughuli zao zimeainishwa kwa Mujibu wa KATIBA
Toka AWAMU ya 5 imeingia Madarakani IMEVIZUIA VYAMA vya UPINZANI TU kufanya MIKUTANO ya HADHARA na ya NDANI Zuio ambalo Halikuwepo katika AWAMU zilizopita
Najiuliza ni Kwa Sheria ipi ndani ya KATIBA iliyovizuia VYAMA vya UPINZANI TU Kufanya MIKUTANO lakini IKARUHUSU CCM ifanye MIKUTANO?