Mikutano ya wajasiria mali inafaida gani hasa?

Latifaa

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2012
Posts
501
Reaction score
258
kila mara huwa naalikwa kwenye hiyo mikutano ya wajasiria mali nasijawahi kwenda hata mmoja huwa nadharaugi tuu jamani waliowahi kwenda naombeni mnijuze huwa kuna jipya au ni blabla tuu za watu kutafuta hela?
 
teheeee teheee.. kama unamaanisha mikutano ya forever living na GNLD, ni story tu za uongo na kweli..
mwisho wa siku utaombwa kiingilio elf 50000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…