johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Binafsi naamini mikutano ya Wapinzani ni fursa nzuri ya Rais wa nchi kuelewa na kuyajua yale ambavyo Wapambe na wanaomzunguka hawataki ayajue
Lakini pia mikutano ya Wapinzani hutoa suluhisho la baadhi ya Changamoto
Ruhusuni mtanishukuru baadae
Lakini pia mikutano ya Wapinzani hutoa suluhisho la baadhi ya Changamoto
Ruhusuni mtanishukuru baadae