Mikwara ya Mzee Mpili wa Ikwiriri

Mikwara ya Mzee Mpili wa Ikwiriri

Huyu Mzee Mikwala yake anawafunika Wasemaji wote wa Utopolo, Wanapaswa wamteue kuwa Msemaji wao.

Eti Viongozi wote ni 'Takataka'. 😂😂
 
Hawa wazee ni njaa tu inawasumbua.
Nasikia Engeneer alikaa nao wakapigwa sabuni ya roho, misikamo yao yoote kwishaa!
 
Back
Top Bottom