namuunga mkono kwa hoja hiiHabar eadau
Hii mila ua eanaume kuwatongoza wamawake imepitwa ma wakar
yaan unakuta mdada anakufuata bra bra kibao mara simu yngu imasumbua norekebishie mara nimekufananisha mara hv mara vile adi mwanaume ajiongeze mmmh
we ukiona mkaka umempenda mfuate mueleze ukwel muombe namba km unaona aibu kumwambia apo apo wanaume tuna mambo meng sn mow days
Tutakuwa tunawauliza, "je unanipenda kweli au unataka kunichezea na kuniharibia pesa zangu"?Waulize wanaume wenye mpunga watakuambia namna wanavyotongozwa hadi wanachoka yaani.
Nitamuambia kakaHaujambo kijana?
Mimi naweza jikuta nalala na wanawake 20 kwa siku.Wadanganye wajichanganye na vile wengi wetu hatujuagi kukataa, ni maumivu.
namuunga mkono kwa hoja hii
Ukitongozwa utakubali
Ukitongozwa utakubali [/QUOTE
akinitongoza ntakubali kimoyomoyo ila sintamwambia hapohapo ntamwambia nipe mda nimfikirie ombi lake halafu baada ya mda ntamwambia nimeishiwa na kodi ya chumba miezi sita inatakiwa na jiko gesi limekata nifanyie mpango my wanguHabari Wadau,
Hii mila ya wanaume kuwatongoza wamawake imepitwa na wakati.
Yaani unakuta dada anakufuata bra bra kibao, mara simu yangu inasumbua narekebishie, mara nimekufananisha mara hivi mara vile hadi mwanaume ajiongeze mmmh!
We ukiona kaka umempenda mfuate mueleze ukweli muombe namba kama unaona aibu kumwambia hapo hapo wanaume tuna mambo mengi sana.
akinitongoza ntakubali kimoyomoyo ila sintamwambia hapohapo ntamwambia nipe mda nimfikirie ombi lake halafu baada ya mda ntamwambia nimeishiwa na kodi ya chumba miezi sita inatakiwa na jiko gesi limekata nifanyie mpango my wanguHabari Wadau,
Hii mila ya wanaume kuwatongoza wamawake imepitwa na wakati.
Yaani unakuta dada anakufuata bra bra kibao, mara simu yangu inasumbua narekebishie, mara nimekufananisha mara hivi mara vile hadi mwanaume ajiongeze mmmh!
We ukiona kaka umempenda mfuate mueleze ukweli muombe namba kama unaona aibu kumwambia hapo hapo wanaume tuna mambo mengi sana.
Kutongozwa huwa ipo Sana Mwanamke anakuambia anakupenda anataka mfanye maisha
Ila hii huwapata wanaume ambao wameamua kujiweka wao mbele kwanza na sio kuwaweka wanawake mbele.
Ukiwa MTU wa kuwaweka wanawake mbele basi utakuwa unafatwa na low value women ,rejected, dumped n.k
Set standard don't be cheap