Hio ni michezo ya shetani. Mtu akishakufa mwili uoza, nafsi na roho yake uenda mahali kulingana na matendo yake.Na Hakuna muunganiko tena Kati ya wafu na walio hai.
Seance. Siyo tabia ya kabila lolote. Ni innate ability ya watu wengine,in fact,innate ability ya kila mtu kuwa medium na kuwa 'simu' ya watu waliokufa.