Mila zetu watu wa Kaskazini

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
  • Unamuacha wife kwa wazazi wako ili ukazichange shilingi, unakaa miaka miwili ughaibuni, unarudi home unakuta mke wako ana mtoto, kazaa na baba yako mzazi.
  • Umeenda kuhemea chakula cha familia, umehangaika kutwa nzima, unarudi home unakuta mkuki umechomekwa nje, jamaa anajichapia mkeo,hajaleta hata mboga.
 
Ukiacha wamasai na wachaga mpo hivi
 
Ukiacha wamasai na wachaga mpo hivi
Kuna dogo amelambwa fimbo 50 majuzi kwa kosa la kutaka kumfukuza mkewe baada ya kumkuta ni mjamzito. Dogo kapiga mishe mjini kama mwaka hivi, siku aliporudi kijijin akakuta wife wake ana mimba ya miezi kadhaa. Dogo kaanzisha timbwili, binti akashitaki kwa wazee. Dogo kawekwa kiti moto, akalambwa bakora na akatoa fine ya ng'ombe watu wale. Alirudi mjini analaani kuoa.
 
Mtoto wa babako kwa mkeo anakuwa ni nani yako?
 
Hizi ni stori uchwara tu kama stori zingine!
 
ukiwaowa mke mzur km ndugu yangu nakuombeae ufe nirithi mke na mali na wtt
 
Huku sio wanawake wakuoa ni wachache sana hao wakuuzia sura na kupigapiga tu siku ziende...

Ukitaka kuoa kanda hiyo lazima ujipange kweli kweli na stress..
Demu anakula ndumu, demu anakula dabo Kiki, demu anakutambulisha kwa mabwana zake, demu anafanya mazoezi ya kuchoma watu visu. Hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…