Mila zingine sio za kuendekezwa

Mila zingine sio za kuendekezwa

Pape

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2008
Posts
5,487
Reaction score
83
Mila zingine sio za kuendekezwa!!!

 

Attachments

  • Mila zingine sio za kuendekezwa.zip
    Mila zingine sio za kuendekezwa.zip
    1 MB · Views: 72
  • m241955.jpg
    m241955.jpg
    59.4 KB · Views: 1,303
  • m241957.jpg
    m241957.jpg
    56.9 KB · Views: 1,291
  • m241945.jpg
    m241945.jpg
    43.2 KB · Views: 1,064
  • m241956.jpg
    m241956.jpg
    65.1 KB · Views: 1,214
  • m241958.jpg
    m241958.jpg
    67.7 KB · Views: 1,122
Asante PJ, I cannot access Jamii Image Hosting! So sad! I hope Invisible and Maxence will solve the problem soon!
 
Thanks PJ,

Hizi mutu za wapi? Ni Pokot wa Kenya? Au watu wa Mali?

Wanatisha aise, haswa yule wa kwanza aliyetoa vizibo vya mdomo kapitisha mkono. Sasa wakati wa kula inakuwaje?
 
Ujahilia ni utamaduni mbaya sana, duh! ustaarabu utafika lini kwa watu hawa? ya nini kujiumiza?
 
Sasa hawa watu wakitaka kula au kunywa inakuwaje!
 
he, kuna intimate ya mke a mume kweli, I mean denda
 
oh maimai nahisi naona vibaya,eti hao watu au vinyago?hapa tz wanapatikana pande gani? woooiowoiii mi naogopa.
 
Aisee its incredible. Hawa kama sikosei wanatokea Omo River, Ethiopia.
 
Mh nadhani Sudan ya kusini hiyo agggggggggggggggggggggggr
 
Back
Top Bottom