Milard Ayo unapotosha umma! Huo ni uwongo uliokubuhu!

hatuwezi kumtakila kila la heri mwanafistula fatuma.....kwa sababu alitumika kutaka kumhujumu JIDE

kwa nini MWANAFATUMA akubali kutumika kumzibia JIDE.....amevuna fedheha na wakome wasanii wote wanaotumika kuwahujumu wenzao

Mleta uzi wewe ni mnafiki tena hukumtakia mema JIDE thats why huoni ucenge wa mwanafatuma
 
mwana fatuma ameidharirisha sana Tanga! Sikutegemea kama angetumika kiasi kile akija Tanga tunampiga mawe
 
ule ukumbi mimi naujua tumeujunga tukiwa chini ya kampuni ya jiu hu tang unachukua watu 850
 

Kweli katia aibu kumzibia mwanamke riziki yake,tena kwa kutumwa na wanaume wenzie na usomi wote ule??,kweli kaka yenu kajiaibisha,ona sasa alivyoumbuka?,sijui uso wake atauficha wapi,ni upumbavu,watu wanajua unatumika kama toilet paper,hayo mambo waachie akina ally nipishe ambao bado hawajaweza simama wenyew
 

wewe mwenyewe ni kamburula cha rugee, utashaaa mwehu wewe, akina yahaya:yell:
 
MAWINGU FM na mnaowashabikia nyie kubalini mmejinyea mchana kweupeee.
 
Naona neno "Celeb" linapoteza maana yake taratibu. Huyu Millard sijui Miadi au Maradhi ndo wa kuletwa hapa jukwaani kujadiliwa? Acheni kupoteza sifa ya JF!
 
Naona neno "Celeb" linapoteza maana yake taratibu. Huyu Millard sijui Miadi au Maradhi ndo wa kuletwa hapa jukwaani kujadiliwa? Acheni kupoteza sifa ya JF!

well said and thats words of wisdom mkuu....mm hata hcho kiumbe sikijui wala sijai kukiskia
 
Hizo picha za MwanaFatuma anafanya representation au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…