High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,134
Spea kiongozi zinapatikana SEMA Bei kidogo ila ukifunga umefunga lakini unapata chuma ya maanavpi spare parts zake.. bei ungwana kama toyota zetu
Ah. Basi fresh kiongozi.. itakuwa nzuri nzuri, sema bei za sapre ndio ile kama umenunua gari mala mbili au sioSpea kiongozi zinapatikana SEMA Bei kidogo ila ukifunga umefunga lakini unapata chuma ya maana
Sent from my Nokia 5.3 using JamiiForums mobile app
Hizi gari za miaka hiyo si ndio ambazo waziri wetu mkuu anataka kupeleka muswaada bungeni kuwa ziwe marufuku kuingizwa nchini!!!???Mnyama mwingine huyu hapa.
View attachment 2191912
View attachment 2191914
View attachment 2191916
CIF Milioni 12
View attachment 2191917
Kodi milioni 10 tu
View attachment 2191918
Hii gari Jeep ni body tu ila engine na gearbox vyote ni Mercedes Benz.
Engine ni OM642 v6 ikiwa na turbo na ina Cc3000. Hii engine imetumika kwenye gari nyingi sana za Mercedes za diesel. Kuanzia C class, E class mpaka S class.
Gearbox ni W5A580. 5 speed tranny.
Kama mtu ana guts za kununua Mercedes hii siyo gari ya kuikimbia.
Ni Cheaper kuliko haya Maharrier.
Kweli kabisaMnyama mwingine huyu hapa.
View attachment 2191912
View attachment 2191914
View attachment 2191916
CIF Milioni 12
View attachment 2191917
Kodi milioni 10 tu
View attachment 2191918
Hii gari Jeep ni body tu ila engine na gearbox vyote ni Mercedes Benz.
Engine ni OM642 v6 ikiwa na turbo na ina Cc3000. Hii engine imetumika kwenye gari nyingi sana za Mercedes za diesel. Kuanzia C class, E class mpaka S class.
Gearbox ni W5A580. 5 speed tranny.
Kama mtu ana guts za kununua Mercedes hii siyo gari ya kuikimbia.
Ni Cheaper kuliko haya Maharrier.
Chembe cha moyo aka ndoa ya kikristoMnyama mwingine huyu hapa.
View attachment 2191912
View attachment 2191914
View attachment 2191916
CIF Milioni 12
View attachment 2191917
Kodi milioni 10 tu
View attachment 2191918
Hii gari Jeep ni body tu ila engine na gearbox vyote ni Mercedes Benz.
Engine ni OM642 v6 ikiwa na turbo na ina Cc3000. Hii engine imetumika kwenye gari nyingi sana za Mercedes za diesel. Kuanzia C class, E class mpaka S class.
Gearbox ni W5A580. 5 speed tranny.
Kama mtu ana guts za kununua Mercedes hii siyo gari ya kuikimbia.
Ni Cheaper kuliko haya Maharrier.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chembe cha moyo aka ndoa ya kikristo
Mnyama mwingine huyu hapa.
View attachment 2191912
View attachment 2191914
View attachment 2191916
CIF Milioni 12
View attachment 2191917
Kodi milioni 10 tu
View attachment 2191918
Hii gari Jeep ni body tu ila engine na gearbox vyote ni Mercedes Benz.
Engine ni OM642 v6 ikiwa na turbo na ina Cc3000. Hii engine imetumika kwenye gari nyingi sana za Mercedes za diesel. Kuanzia C class, E class mpaka S class.
Gearbox ni W5A580. 5 speed tranny.
Kama mtu ana guts za kununua Mercedes hii siyo gari ya kuikimbia.
Ni Cheaper kuliko haya Maharrier.
Naunga mkono hoja, tuanze kuingiza za 2018.. ila TRA washuke chiniHizi gari za miaka hiyo si ndio ambazo waziri wetu mkuu anataka kupeleka muswaada bungeni kuwa ziwe marufuku kuingizwa nchini!!!???
Miaka hii ya 2018 ushuru una tabasamu mpaka jino la chumbani linaonekanaNaunga mkono hoja, tuanze kuingiza za 2018.. ila TRA washuke chini
π π π π ndio nia yao sasa, unafikiri tutafanayaje...Miaka hii ya 2018 ushuru una tabasamu mpaka jino la chumbani linaonekana
Free lander zile engine zake 'K-series' ziliharibu kabisa Ile gari,nikapata allergy nayo mpk leo.Mkuu hiyo Land Rover Free Lander ya Bei kitonga ni ya Petrol na Engine yake ni 3200cc. Hiyo Injini ni 6 cylinder na imetumika kwenye Volvo XC90.
Raia wanataka za Turbo Diesel za 2.2L, saizi utaulizwa inanusa mafuta. 2.2L inatosha bongo mafundi na spea zipo inashare injini na Ford na Defender Puma
Hizi Second Generation hawajaweka Engine za K-Series Kwa Diesel wametumia engine ya Ford Duratoque 2.2L ambayo ipo Kwenye Ford Explorer,Ford Ranger na Land Rover Defender Puma.Free lander zile engine zake 'K-series' ziliharibu kabisa Ile gari,nikapata allergy nayo mpk leo.
Nimekusoma mkuu,maana yangu ilikua baada ya mizunguo ya k-series sikuwahi kuzitamani Tena freelander mpk leo.Hizi Second Generation hawajaweka Engine za K-Series Kwa Diesel wametumia engine ya Ford Duratoque 2.2L ambayo ipo Kwenye Ford Explorer,Ford Ranger na Land Rover Defender Puma.
Ya Petrol Kuna Moja niliikuta Tunduma ina inline 6 cylinder 3200cc jamaa akasema inashare na Volvo XC90
K Series nyingi watu walizipaki na zilikufa kizembe, wabishi wakafunga 3S ya RAV4Nimekusoma mkuu,maana yangu ilikua baada ya mizunguo ya k-series sikuwahi kuzitamani Tena freelander mpk leo.
ππ naam uko sawa kabisa,na Mimi 3s ilinihusu mkuu.K Series nyingi watu walizipaki na zilikufa kizembe, wabishi wakafunga 3S ya RAV4