Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 481
Umri wangu hauniruhusu kusoma hapa.
umemaliza kusoma ndipo umri ukakukataza... Late.
Kojoa ukalale
umemaliza kusoma ndipo umri ukakukataza... Late.
Swali: Hivi ingekuwaje kama BAO (si la mpira wewe) la ku-DU (umeelewa sasa…) lingekuwa linatoa mlio kama Bunduki???
Mfano: Paaah au Puuuh au Pooooh au Tuuufuu au Tratrataaaah nk. Nahisi tungekuwa viziwi Dunia nzima, kwa sababu usiku kelele za mabao tusingelala.
Tena fikiria wale waliopo jirani na Guest House wangelala?? Kwao yangekuwa ni mabao tu kwa kwenda mbele… Paaah au Puuuh au Pooooh au Tuuufuuh au Tratrataaaah
😛hoto:
Umri wangu hauniruhusu kusoma hapa.
zingine zingekuwa zinatoka kama bereta.
Mitaa ya sinza na buguruni-kimboka kungekuwa balaa.
Sipati mitaa ya sinza, ukipita kwangu ni milio ya misile ka za kurusi